iqna

IQNA

nairobi
Muharram 1435
NAIROBI (IQNA)- Waislamu, hasa wa madhehebu ya Shia, wamejumuika katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (as) katika siku ya Ashura.
Habari ID: 3477357    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Mazungumzo baina ya dini
Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi hivi karibuni umeandaa siku maalumu ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu, hasa Wakristo nchini humo, ndani ya msikiti huo ili waweze kujifunza kuhusu Uislamu na Waislamu na kuondoa fikra potovu zilizopo.
Habari ID: 3477106    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/06

Warsha
TEHRAN (IQNA) – Semina ya mtandaoni ilifanyika nchini Kenya hivi karibuni ili kujadili hali ya kisheria ya wanawake katika familia na jamii kwa mtazamo wa Qur'ani Tukufu na dini zingine.
Habari ID: 3477074    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/31

TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi umefunguliwa baada kufungwa kwa miezi mitano kufuatia kuibuka janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473087    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/20

TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Jamia katika mji wa Nairobi, Kenya umefungua milango yake kwa wasiokuwa Waislamu kuutembelea ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka wa 94 wa ujenzi wake.
Habari ID: 3472187    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/26

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Kenya wameandamana kulaani mpango wa wakuu wa mji wa Nairobi kubomoa msikiti moja mjini humo kwa ajili ya ujenzi wa barabara.
Habari ID: 3470925    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/09

Maeneo kadhaa ya Ibada katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi yamepakwa rangi ya njano kama njia ya kuleta umoja na kusisitiza nukta za pamoja baina ya wafuasi wa dini mbali mbali.
Habari ID: 3470528    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/17