IQNA

Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran amesisitiza mafanikio ya kihistoria yaliyopatikana na Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kwa kuunda Umma mmoja ulioshikamana, kutoka jamii za kikabila zilizokuwa zikitumbukia katika migawanyiko na mifarakano.
16:17 , 2025 Aug 22
Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
15:58 , 2025 Aug 22
Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
15:51 , 2025 Aug 22
Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya aya za Qur’ani na ramani za nchi za Kiarabu.
15:42 , 2025 Aug 22
Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

IQNA-Maonyesho ya sanaa za Qur’ani na kidini yenye kichwa “Sanaa ya Mapenzi, Imani na Ashura” yalifanyika katika Chuo Kikuu cha Kashmir yakiratibiwa na Taasisi ya Utafiti wa Qur’ani ya Tebyan. Zaidi ya kazi mia moja za uchoraji, kaligrafia, picha na sanaa za kidigitali ziliwasilisha mada za Qur’an, Karbala na kujitolea.
15:37 , 2025 Aug 22
Wafanyaziyara wakitembea kuelekea Mashhad kabla ya kumbukumbu ya Imam Ridha (AS)

Wafanyaziyara wakitembea kuelekea Mashhad kabla ya kumbukumbu ya Imam Ridha (AS)

IQNA – Kila mwaka, inapokaribia kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Imam Ridha (AS), wafanyaziyara na waombolezaji kutoka mikoa na wilaya jirani huanza safari kwa miguu kuelekea mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
17:03 , 2025 Aug 21
Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

IQNA – Saudi Arabia imetangaza washindi katika makundi matano ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yaliyofanyika mjini Makkah.
16:57 , 2025 Aug 21
Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Sayyid Muhammad Husaynipour, aliyeshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alishiriki katika msafara wa Qur’āni wa Arbaeen mjini Hillah, Iraq. Hii hapa klipu yake akisoma Qur'ani Tukufu
16:43 , 2025 Aug 21
Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf imefunikwa kwa vitambaa vyeusi ikiwa ni sehemu ya maandalizi makubwa ya kumbukumbu ya Wafat au kufariki kwa Mtume Muhammad (SAW) itakayoadhimishwa Ijumaa, tarehe 28 Safar.
17:13 , 2025 Aug 20
Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

IQNA – Magaidi walifyatua risasi ndani ya msikiti katika eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria wakati wa Swala ya Alfajiri siku ya Jumanne, na kuua angalau watu 27, maafisa wa eneo hilo na wakazi wamesema.
17:06 , 2025 Aug 20
Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

IQNA – Wosia wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kuhusu Ahlul-Bayt (AS), Qur’an Tukufu, na ulazima wa kulinda umoja wa Waislamu unaonyesha dira yake ya kujenga jamii yenye mshikamano na haki, amesema msomi mmoja.
17:01 , 2025 Aug 20
Zaidi ya Watoto 3,000 washiriki hafla ya Qur’ani Katika Haram ya Imam Ridha (AS) + Picha

Zaidi ya Watoto 3,000 washiriki hafla ya Qur’ani Katika Haram ya Imam Ridha (AS) + Picha

IQNA – Zaidi ya watoto 3,000 wamekusanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad kwa ajili ya kongamano la Qur’ani lililopewa jina “Malaika wa Muqawama (Upinzani)”, na kujaza eneo hilo tukufu kwa tilawa na sauti za imani.
16:49 , 2025 Aug 20
Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu Makkah

Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu Makkah

IQNA – Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yanatarajiwa kufikia tamati kwa hafla maalum itakayofanyika mjini Makkah siku ya Jumatano.
16:41 , 2025 Aug 20
Maqari wa Kiirani wasoma Qur’ani Tukufu katika Mawkib jijini Karbala

Maqari wa Kiirani wasoma Qur’ani Tukufu katika Mawkib jijini Karbala

QNA – Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen kutoka Iran, unaojulikana mwaka huu kama “Msafara wa Imam Ridha (AS)”, ulianza shughuli zake katika njia ya Arbaeen tarehe 8 Agosti 2025.
14:09 , 2025 Aug 20
Washiriki wa Mashindano ya Qur’ani watembelea Misikiti na maeneo ya kihistoria Madina

Washiriki wa Mashindano ya Qur’ani watembelea Misikiti na maeneo ya kihistoria Madina

IQNA – Washiriki wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz wametembelea misikiti ya kihistoria na maeneo ya turathi katika mji wa Madina, kama sehemu ya programu ya kitamaduni iliyoandaliwa na mamlaka za Saudi Arabia.
15:57 , 2025 Aug 19
1