IQNA

Jumba la Makumbusho ya Istanbul limeandaa Safari ya Kipekee ya Kielektroniki Katika Msikiti wa Al-Aqsa

Jumba la Makumbusho ya Istanbul limeandaa Safari ya Kipekee ya Kielektroniki Katika Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Jumba la Makumbusho moja jijini Istanbul limezindua uzoefu wa hali halisi ya mtandao (Virtual Reality – VR) unaowawezesha wageni kutembelea Msikiti wa Al-Aqsa na mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel, kana kwamba wanatembea humo kwa miguu.
21:07 , 2025 Oct 07
Mchochezi wa uchomaji wa nakala za Qur'ani Rasmus Paludan aepuka hukumu kamili nchini Sweden

Mchochezi wa uchomaji wa nakala za Qur'ani Rasmus Paludan aepuka hukumu kamili nchini Sweden

IQNA – Mahakama ya rufaa nchini Sweden (Uswidi) imesitisha hukumu dhidi ya Rasmus Paludan, mwanasiasa wa mrengo wa kulia mwenye uraia wa Denmark na Sweden, ambaye amewahi kutukana na kuchoma nakala za Qur'an Tukufu mara kadhaa.
20:51 , 2025 Oct 07
Qari Mwandamizi: Mashindano ya Qur'an Kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana hmasa

Qari Mwandamizi: Mashindano ya Qur'an Kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana hmasa

IQNA – Mashindano ya Qur'an kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana msukumo wa kiroho na hutoa kipimo sahihi cha maendeleo yao katika usomaji wa Qur'an, amesema Qari maarufu kutoka Iran, Ahmad Abolqassemi.
20:24 , 2025 Oct 07
Utawala wa Kizayuni wapiga mqrufuku Sheikh Ikrima Sabri kuingia Msikiti wa Al-Aqsa kwa kipindi cha miezi sita

Utawala wa Kizayuni wapiga mqrufuku Sheikh Ikrima Sabri kuingia Msikiti wa Al-Aqsa kwa kipindi cha miezi sita

IQNA – Mamlaka ya utawala wa Kizayuni imezuia Sheikh Ikrima Sabri, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la al-Quds (Jerusalem) kuingia na kuswali katika eneo hilo takatifu kwa muda wa miezi sita — hatua iliyolaaniwa vikali kama sehemu ya kampeni ya kuwalenga viongozi wa kidini wa Kipalestina.
20:13 , 2025 Oct 07
Dr. Ahmed Omar Hashem, Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mwanazuoni mkuu, amefariki dunia

Dr. Ahmed Omar Hashem, Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mwanazuoni mkuu, amefariki dunia

IQNA – Dr. Ahmed Omar Hashem, aliyewahi kuwa Rais wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wakuu wa taasisi hiyo, ameaga dunia alfajiri ya leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
20:03 , 2025 Oct 07
Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

IQNA-Vita vya Ghaza na jinai nyingine zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel zimekabiliwa na msururu wa mashinikizo ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni ambayo yameufanya utawala huo ghasibu kuwa taifa linalochukiwa na kukataliwa duniani.
13:19 , 2025 Oct 05
Qur’ani Tukufu  ni silaha yenye nguvu dhidi ya maadui asema kamanda wa IRGC

Qur’ani Tukufu ni silaha yenye nguvu dhidi ya maadui asema kamanda wa IRGC

IQNA – Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametaja Qur’ani Tukufu kuwa silaha yenye nguvu dhidi ya maadui.
13:11 , 2025 Oct 05
Polisi Uingereza wachunguza tukio la chuki baada ya moto katika Msikiti wa East Sussex

Polisi Uingereza wachunguza tukio la chuki baada ya moto katika Msikiti wa East Sussex

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio linaloshukiwa kuwa shambulio la kuchoma moto kwa chuki dhidi ya Msikiti wa Peacehaven, ulioko East Sussex, usiku wa Jumamosi.
13:06 , 2025 Oct 05
Msomi wa Al-Azhar atambuliwa kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” Katika Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Libya

Msomi wa Al-Azhar atambuliwa kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” Katika Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Libya

IQNA – Profesa Abdul Karim Saleh, Mkuu wa Kamati ya Mapitio ya Qur’ani ya Al-Azhar, ametangazwa na kupewa heshima kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” katika Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Libya.
13:02 , 2025 Oct 05
Watoto wa Mashujaa huko Sa’ada Yemen waenziwa katika Mashindano ya Qur'ani

Watoto wa Mashujaa huko Sa’ada Yemen waenziwa katika Mashindano ya Qur'ani

IQNA-Katika hafla ya kusisimua iliyofanyika Sa’ada, Yemen, watoto wa mashujaa wameenziwa kwa mafanikio yao katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu, yaliyoandaliwa na Shule ya Qur’ani ya Mashujaa kwa ushirikiano na Taasisi ya Mashujaa.
12:54 , 2025 Oct 05
Kwa Picha: Maadhimisho ya Mwaka wa Kwanza wa Kumbukumbu ya Mashahidi wa Hizbullah Yafanyika Tehran

Kwa Picha: Maadhimisho ya Mwaka wa Kwanza wa Kumbukumbu ya Mashahidi wa Hizbullah Yafanyika Tehran

IQNA –Hafla maalum imefanyika katika Uwanja wa Imam Hussein (AS) mjini Tehran siku ya Alhamisi kuadhimisha mwaka mmoja tangu kufariki kwa mashahidi wa Hizbullah, aliyekuwa Katibu Mkuu Sayed Hassan Nasrallah na Sayed Hashem Safieddine.
16:12 , 2025 Oct 04
Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ yatia motisha kizazi kipya cha Wasomaji na Wahifadhi

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ yatia motisha kizazi kipya cha Wasomaji na Wahifadhi

IQNA – Afisa wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya kwanza ya Qur'ani ya Zayin al-Aswat amesema kuwa lengo kuu la tukio hilo la Qur'an ni kutambua, kulea, na kuandaa vipaji mahiri vya vijana kutoka maeneo mbalimbali ya nchi.
16:04 , 2025 Oct 04
Sharjah yakaribisha kizazi kipya cha wahifadhi wa Qur'ani Tukufu

Sharjah yakaribisha kizazi kipya cha wahifadhi wa Qur'ani Tukufu

IQNA – Taasisi ya Sharjah ya Qur'ani Tukufu na Sunnah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imewatunuku wahifadhi 95 wa Qur'an Tukufu, ikiendeleza dhamira yake ya kulea kizazi chenye misingi imara ya Kiislamu.
15:59 , 2025 Oct 04
Mpango wazinduliwa kuhusu kuandika wasifu wa maulamaa 84,000 wa Kiislamu

Mpango wazinduliwa kuhusu kuandika wasifu wa maulamaa 84,000 wa Kiislamu

IQNA – Mpango kabambe wa utafiti wa maisha ya maulamaa 84,000 wa Kiislamu umezinduliwa rasmi, kwa mujibu wa msomi wa Kiislamu kutoka Iran.
15:51 , 2025 Oct 04
Hamas Yajibu Mpango wa Trump na kusema 'Hakuna utawala wa kigeni utakaosimamia Gaza'

Hamas Yajibu Mpango wa Trump na kusema 'Hakuna utawala wa kigeni utakaosimamia Gaza'

IQNA-Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imesema iko tayari “kuwaachilia mateka wote Waisraeli, walio hai na waliokufa,” lakini imesisitiza kuwa hakuna utawala wa kigeni utakaoruhusiwa kusimamia Ukanda wa Gaza.
15:39 , 2025 Oct 04
1