IQNA

Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi

Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi

IQNA-Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameionya Marekani kuhusu kuanzisha hatua za kijeshi dhidi ya Iran baada ya operesheni yake ya kisheria ya hivi karibuni ya kulipiza kisasi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, mshirika mkuu wa kieneo wa Washington.
16:41 , 2024 Apr 15
Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli

Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli

IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli utakabiliwa na jibu madhubuti, zito na kali zaidi.
19:54 , 2024 Apr 14
Qur'ani Tukufu  inasemaje kuhusu nidhamu

Qur'ani Tukufu inasemaje kuhusu nidhamu

IQNA – Qur’ani Tukufu, pamoja na kuangazia mpangilio katika uumbaji wa ulimwengu wa asili, inawaalika wanadamu kwenye mfululizo wa maadili, tabia na maelekezo ambayo huleta utaratibu na nidhamu.
14:58 , 2024 Apr 14
Mkorea aliyesilimu kujenga Msikiti huko Incheon

Mkorea aliyesilimu kujenga Msikiti huko Incheon

IQNA - Daud Kim, msanii maarufu wa pop wa Korea Kusini na YouTuber ambaye alikubali Uislamu mnamo 2019, ameanza mradi wa kujenga msikiti huko Incheon, Korea Kusini.
14:46 , 2024 Apr 14
Algeria kuongeza zawadi za fedha taslimu  katika mashindano ya Qur'ani

Algeria kuongeza zawadi za fedha taslimu katika mashindano ya Qur'ani

IQNA - Rais wa Algeria ameamuru kuongezwa kwa zawadi za fedha zinazotolewa kwa washindi wa mashindano ya Qur'ani nchini humo.
14:45 , 2024 Apr 14
Iran yashambulia utawala wa Israel kulipiza kisasi ugaidi

Iran yashambulia utawala wa Israel kulipiza kisasi ugaidi

IQNA- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limefanya mashambulizi makubwa ya kulipiza kisasi kwa kutumia makombora na ndege zisizo na rubani na makombora dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel likijibu mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa utawala wa Israel ya tarehe 1 Aprili dhidi ya majengo ya kidiplomasia ya Jamhuri ya Kiislamu katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
11:39 , 2024 Apr 14
Mtafiti: Kusimulia hadithi ni njia muhimu ya kisanaa ya kueneza mafundisho ya Qur'ani

Mtafiti: Kusimulia hadithi ni njia muhimu ya kisanaa ya kueneza mafundisho ya Qur'ani

IQNA - Mtafiti wa Guinea-Bissau anasema mbinu ya kusimulia hadithi imetumika katika Qur'an na inaweza kueneza mafundisho ya Kiislamu kwa ufanisi.
16:46 , 2024 Apr 13
Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi

Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi

IQNA - Norway imekataa ombi la hifadhi la Salwan Momika, mkimbizi kutoka Iraq ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa nchini Uswidi katika miezi iliyopita. Ripoti za awali zilieleza kuwa Momika alifariki akiwa Norway lakini imebainika kuwa ripoti hizo hazikuwa sahihi.
16:24 , 2024 Apr 13
Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

IQNA – Sheikh-ul-Qurra (mbora wa maqari) wa Bangladesh ni miongoni mwa maqari ambao qiraa yake imevutia wengi katika cha Televisheni cha Mahfel.
16:09 , 2024 Apr 13
Mfanyaziara Mnigeria  atoa zawadi ya nakala Msahafu wa Hati ya Maghribi kwa Imam Ridha AS

Mfanyaziara Mnigeria atoa zawadi ya nakala Msahafu wa Hati ya Maghribi kwa Imam Ridha AS

IQNA - Hujaji wa Nigeria na mwanafunzi amekabidhi nakala iliyoandikwa kwa mkono ya Qur'ani Tukufu katika hati ya Maghribi kwa Maktaba Kuu ya Haram ya Imam Ridha (AS).
14:46 , 2024 Apr 13
Viongozi wa Ireland na Uhispania watangaza tayari kuitambua Palestina

Viongozi wa Ireland na Uhispania watangaza tayari kuitambua Palestina

IQNA-Viongozi wa Ireland na Uhispania wametangaza kuwa nchi kadhaa za bara la Ulaya zinakaribia kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
10:36 , 2024 Apr 13
Hujuma dhidi ya kituo cha Kiislamu cha Chuo Kikuu cha Rutgers Marekani

Hujuma dhidi ya kituo cha Kiislamu cha Chuo Kikuu cha Rutgers Marekani

IQNA-Wanafunzi wa aislamu katika Chuo Kikuu cha Rutgers nchini Marekani wameelezea wasiwasi juu ya usalama wao baada ya kituo chao cha Kiisilamu kuharibiwa wakati wa siku kuu ya Idul Fitr.
20:40 , 2024 Apr 12
Msikiti Ugiriki wafunguliwa kwa Sala ya Idul Fitr baada ya karne

Msikiti Ugiriki wafunguliwa kwa Sala ya Idul Fitr baada ya karne

IQNA - Sala ya Idul Fitr iliswaliwa na zaidi ya waumini 100 wa Kiislamu katika Msikiti wa Yeni huko Thessaloniki, kaskazini mwa Ugiriki, siku ya Jumatano.
11:40 , 2024 Apr 12
Rais wa Iran amtumia rambirambi kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuua shahidi watoto na wajukuu wake

Rais wa Iran amtumia rambirambi kiongozi wa Hamas baada ya Israel kuua shahidi watoto na wajukuu wake

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji yaliyofanywa na jeshi la utawala katili wa Israel dhidi ya wanafamilia wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza.
11:32 , 2024 Apr 12
Idadi ya mashahidi huko Gaza imepindukia 33,500, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

Idadi ya mashahidi huko Gaza imepindukia 33,500, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

IQNA-Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Palestina, idadi ya mashahidi wa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza imefikia 33,545 huku utawala huo katili ukiendeleza vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo lililozingirwa.
11:25 , 2024 Apr 12
1