Habari Maalumu
IQNA – Mwanaume mwenye umri wa miaka 27 nchini Ufaransa amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur'ani, Kitabu Kitakatifu...
01 Aug 2025, 14:25
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani wanatekeleza jinai za kila siku, zilizo na mpangilio...
31 Jul 2025, 12:54
IQNA – Kundi la walimu na maqarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeandika barua ya wazi kwa maqari wa Misri, likiwataka wachukue...
30 Jul 2025, 17:49
IQNA – Shirika la Mikingo ya Mpaka ya Iraq limetangaza kuwa liko tayari kikamilifu kuwapokea wafanyaziyara wa Arbaeen kutoka mataifa ya kigeni.
30 Jul 2025, 17:38
IQNA-Australia imeingia katika kipindi kigumu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), hali iliyoibuka kwa kasi tangu kuanza kwa vita vya kikatili vya...
30 Jul 2025, 11:37
IQNA – Afisa mmoja kutoka Wizara ya Elimu ya Iran amesema kuwa shule 1,200 za kuhifadhi Qur’ani zinapangwa kuzinduliwa nchini ili kusaidia mpango wa kuwafundisha...
30 Jul 2025, 11:16
IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatعllah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya...
29 Jul 2025, 21:29
IQNA – Kundi moja la kutetea haki za binadamu nchini Marekani limelaani shambulio la kikatili lililotokea hivi karibuni dhidi ya kanisa Katoliki nchini...
30 Jul 2025, 10:54
IQNA-Sheikh Muhammad Ahmad Hussein, Mufti Mkuu wa Al-Quds, amepigwa marufuku na utawala dhalimu wa Israel kuingia Msikiti wa Al-Aqsa ulio mjini Quds (Jerusalem)...
28 Jul 2025, 17:58
IQNA-Kundi la maombolezo la Bani Amer, mojawapo ya makundi makubwa zaidi ya waombolezaji nchini Iraq, limeanza matembezi yake ya kiroho kutoka Basra kuelekea...
28 Jul 2025, 17:52
IQNA-Kozi ya kiangazi ya wanawake ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah, imekamilika kwa mafanikio, ambapo washiriki...
28 Jul 2025, 17:47
IQNA-Mji wa Al Hoceima, ulioko kaskazini mwa Morocco, umeandaa tamasha lake la kwanza la Qur’ani Tukufu, likiwatambua washiriki mashuhuri wa mashindano...
28 Jul 2025, 17:42
IQNA – Taasisi za kidini na kiraia katika mji mtukufu wa Qom, Iran, zinajiandaa kuwapokea zaidi ya wafanyaziyara 500,000 wa Arbaeen kutoka zaidi ya nchi...
28 Jul 2025, 17:36
IQNA-Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati...
27 Jul 2025, 16:16
IQNA – Katika kuonyesha mshikamano wa Waislamu, masheikh wa Kisunni walijumuika Jumamosi jioni kwa swala ya jamaa pamoja na ndugu zao wa Kishia katika...
27 Jul 2025, 16:12
IQNA- Mahdi Ghorbanali, qari wa swala ya Ijumaa mjini Tehran, amejiunga na kampeni ya Qur’ani ya IQNA iitwayo “Fath” kwa kusoma aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
27 Jul 2025, 15:59