IQNA

Harakati za Qur'ani

Wanafunzi 1,000 waliohifadhi Qur'ani Tukufu kuhitimu katika chuo cha Dar-ul-Quran Gaza

Mkuu wa Kituo cha Dar-ul-Quran na Sunnah cha Gaza huko Palestina amesema zaidi ya wahifadhi 1,000 wa Qur'ani Tukufu wanatarajiwa kuhitimu kutoka kituo...
Jinai za Israel

Walowezi wa Kizayuni wauhujumu msikiti wa al-Aqswa chini ya himya ya jeshi katili la Israel

Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali asubuhi ya leo wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia...
Matukio ya Palestina

Chuo Kikuu cha Kiislamu cha kimatiafa kujengwa Istanbul

Chuo kikuu jumuishi cha kimataifa cha mafundisho ya Kiislamu kimepangwa kuanzishwa mjini Istanbul, Uturuki.
Siasa

Matokeo ya uchaguzi wa Bunge la Kuwait yaibua matumiani katika vita dhidi ya ufisadi

Mrengo wa upinzani nchini Kuwait kwa mara nyingine tena umeshinda wingi wa viti vya Bunge nchini humo katika uchaguzi mkuu wa saba wa nchi hiyo ya Ghuba...
Habari Maalumu
Kufunguliwa tena  ubalozi wa Iran nchini Saudi Arabia ni ishara ya kufeli sera za Marekani
Uchambuzi

Kufunguliwa tena ubalozi wa Iran nchini Saudi Arabia ni ishara ya kufeli sera za Marekani

Sambamba na kufufuliwa uhusiano wa kisiasa na kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Saudi Arabia, ubalozi wa Iran mjini Riyadh...
08 Jun 2023, 19:33
Ubabe na ukaidi humpelekea mtu kupotea
Maadili katika Qur'ani /2

Ubabe na ukaidi humpelekea mtu kupotea

Kwa kawaida watu hawapendi kuwa chini ya udhibiti wa wengine au imani yoyote. Wanapenda kuishi kwa uhuru lakini wengine hawajui nguvu ya ndani inayowaweka...
07 Jun 2023, 18:16
Jukumu Muhimu la Familia katika Elimu
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 3

Jukumu Muhimu la Familia katika Elimu

Moja ya vipengele vikuu vya elimu ni familia na Nabii Ibrahim (AS) aliiwekea mkazo mkubwa katika kuwasomesha watoto wake na watu wake.
07 Jun 2023, 17:44
Mwelimishaji wa Kiislamu  nchini New Zealand Apokea Tuzo
Waislamu Ulimwengu wa Magharibi

Mwelimishaji wa Kiislamu nchini New Zealand Apokea Tuzo

Tuzo ya Heshima ya Mfalme nchini New Zealand mwaka huu imekabidhiwa Maysoon Salama, mwalimu wa Kiislamu, mwandishi, na kiongozi wa jamii, kwa huduma zake...
07 Jun 2023, 15:01
Urejeshaji wa Msahafu wa Karne 5  huko Taiwan
Turathi ya Kiislamu

Urejeshaji wa Msahafu wa Karne 5 huko Taiwan

Urejeshaji wa Msahafu (Qur'ani Tukufu) ulioandikwa miaka 500 iliyopita hivi karibuni umekamilika eneo la China laTaiwan .
07 Jun 2023, 18:39
Daktari Mfaransa asilimu Morocco baada ya utafiti kuhusu Uislamu
Kuenea Uislamu

Daktari Mfaransa asilimu Morocco baada ya utafiti kuhusu Uislamu

TEHRAN (IQNA) - Daktari huyu Mfaransa aliyekuwa akiishi Morocco na mji wa "Al-Nazour" kwa muda mrefu aliamua kutangaza kusilimu kwake.
07 Jun 2023, 13:14
Qur'ani Tukufu, Kitabu Kitukufu, Kilichotukuka
Ifahamu Qur'ani Tukufu / 4

Qur'ani Tukufu, Kitabu Kitukufu, Kilichotukuka

Mwenyezi Mungu anaielezea Qur'ani Tukufu, miongoni mwa mambo mengine, kama kitabu chenye heshima na kitukufu.
06 Jun 2023, 21:20
Surah Al-Infitar; Hatima ya wale wasiokuwa na shukrani kwa Mwenyezi Mungu
Sura za Qur'ani Tukufu / 82

Surah Al-Infitar; Hatima ya wale wasiokuwa na shukrani kwa Mwenyezi Mungu

Mwanadamu ana baraka nyingi maishani, ambazo zote amepewa na Mwenyezi Mungu. Lakini wakati mwingine anazichukulia kuwa za kawaida na kushindwa kumshukuru...
06 Jun 2023, 20:19
Msikiti wa Jamia Nairobi wakaribisha wasiokuwa Waislamu kuwaelimisha
Mazungumzo baina ya dini

Msikiti wa Jamia Nairobi wakaribisha wasiokuwa Waislamu kuwaelimisha

Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi hivi karibuni umeandaa siku maalumu ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu, hasa Wakristo nchini humo,...
06 Jun 2023, 19:01
Waislamu waendelea kumiminika Saudi Arabia kwa ajili ya Ibada ya Hija + Video
Ibada ya Hija 1444

Waislamu waendelea kumiminika Saudi Arabia kwa ajili ya Ibada ya Hija + Video

Makka,, mji mtakatifu zaidi katika Uislamu, unaendelea kukaribisha Waislamu wanaofika katika mji huo kwa ajili ya ibada ya kila mwaka ya Hija.
06 Jun 2023, 22:00
Mpango wa Tunisia kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti

Mpango wa Tunisia kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti

Shirika la Kitaifa la Kudhibiti Nishati nchini Tunisia lilitangaza kutekelezwa kwa mpango wa kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti nchini humu.
05 Jun 2023, 22:57
Kitabu Kilichotumwa na Mwenyezi Mungu
Ifahamu Qur'ani Tukufu / 1

Kitabu Kilichotumwa na Mwenyezi Mungu

Tunapofikiria kitabu ni nini, maswali ya kwanza yanayokuja kichwani ni nani amekiandika na ni cha nani?
06 Jun 2023, 21:34
Vidokezo vya afya kwa ajili ya wanaoelekea katika ibada ya Hija
Ibada ya Hija 1444

Vidokezo vya afya kwa ajili ya wanaoelekea katika ibada ya Hija

TEHRAN (IQNA) – Hija, ni ibada ya kila mwaka ya dini ya Kiislamu katika mji mtakatifu wa Makka, inakaribia kutufikia, na safari ya kiroho pia inahusisha...
05 Jun 2023, 14:37
Fikra za Imam Khomeini bado ziko hai
Sheikh Ibrahim Zakzaky

Fikra za Imam Khomeini bado ziko hai

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametangaza kuwa, licha ya kupita miaka 34 tangu kuaga dunia Imam Ruhullah Khomeini, fikra za mwasisi...
05 Jun 2023, 13:45
Kongamano la Imam Khomeini lafanyika kwa njia ya intaneti Afrika Mashariki
Hauli ya Imam Khomeini

Kongamano la Imam Khomeini lafanyika kwa njia ya intaneti Afrika Mashariki

Kongamano kwa mnasaba wa kukumbuka mwaka wa 34 wa kuaga dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) limefanyika kwa njia ya mtandao na kuwaleta pamoja...
05 Jun 2023, 08:29
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanafungamana na jina la Imam Khomeini
Mtazamo

Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanafungamana na jina la Imam Khomeini

Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah...
04 Jun 2023, 18:12
Picha‎ - Filamu‎