Habari Maalumu
Uchambuzi
Sambamba na kufufuliwa uhusiano wa kisiasa na kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Saudi Arabia, ubalozi wa Iran mjini Riyadh...
08 Jun 2023, 19:33
Maadili katika Qur'ani /2
Kwa kawaida watu hawapendi kuwa chini ya udhibiti wa wengine au imani yoyote. Wanapenda kuishi kwa uhuru lakini wengine hawajui nguvu ya ndani inayowaweka...
07 Jun 2023, 18:16
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 3
Moja ya vipengele vikuu vya elimu ni familia na Nabii Ibrahim (AS) aliiwekea mkazo mkubwa katika kuwasomesha watoto wake na watu wake.
07 Jun 2023, 17:44
Waislamu Ulimwengu wa Magharibi
Tuzo ya Heshima ya Mfalme nchini New Zealand mwaka huu imekabidhiwa Maysoon Salama, mwalimu wa Kiislamu, mwandishi, na kiongozi wa jamii, kwa huduma zake...
07 Jun 2023, 15:01
Turathi ya Kiislamu
Urejeshaji wa Msahafu (Qur'ani Tukufu) ulioandikwa miaka 500 iliyopita hivi karibuni umekamilika eneo la China laTaiwan .
07 Jun 2023, 18:39
Kuenea Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Daktari huyu Mfaransa aliyekuwa akiishi Morocco na mji wa "Al-Nazour" kwa muda mrefu aliamua kutangaza kusilimu kwake.
07 Jun 2023, 13:14
Ifahamu Qur'ani Tukufu / 4
Mwenyezi Mungu anaielezea Qur'ani Tukufu, miongoni mwa mambo mengine, kama kitabu chenye heshima na kitukufu.
06 Jun 2023, 21:20
Sura za Qur'ani Tukufu / 82
Mwanadamu ana baraka nyingi maishani, ambazo zote amepewa na Mwenyezi Mungu. Lakini wakati mwingine anazichukulia kuwa za kawaida na kushindwa kumshukuru...
06 Jun 2023, 20:19
Mazungumzo baina ya dini
Msikiti wa Jamia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi hivi karibuni umeandaa siku maalumu ya kuwakaribisha wasiokuwa Waislamu, hasa Wakristo nchini humo,...
06 Jun 2023, 19:01
Ibada ya Hija 1444
Makka,, mji mtakatifu zaidi katika Uislamu, unaendelea kukaribisha Waislamu wanaofika katika mji huo kwa ajili ya ibada ya kila mwaka ya Hija.
06 Jun 2023, 22:00
Shirika la Kitaifa la Kudhibiti Nishati nchini Tunisia lilitangaza kutekelezwa kwa mpango wa kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti nchini humu.
05 Jun 2023, 22:57
Ifahamu Qur'ani Tukufu / 1
Tunapofikiria kitabu ni nini, maswali ya kwanza yanayokuja kichwani ni nani amekiandika na ni cha nani?
06 Jun 2023, 21:34
Ibada ya Hija 1444
TEHRAN (IQNA) – Hija, ni ibada ya kila mwaka ya dini ya Kiislamu katika mji mtakatifu wa Makka, inakaribia kutufikia, na safari ya kiroho pia inahusisha...
05 Jun 2023, 14:37
Sheikh Ibrahim Zakzaky
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametangaza kuwa, licha ya kupita miaka 34 tangu kuaga dunia Imam Ruhullah Khomeini, fikra za mwasisi...
05 Jun 2023, 13:45
Hauli ya Imam Khomeini
Kongamano kwa mnasaba wa kukumbuka mwaka wa 34 wa kuaga dunia Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) limefanyika kwa njia ya mtandao na kuwaleta pamoja...
05 Jun 2023, 08:29
Mtazamo
Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah...
04 Jun 2023, 18:12