IQNA

Washindi wa Mashindano ya Qur’anI ya Mkoa wa Tehran waenziwa

IQNA – Washindi wa upande wa wanaume katika awamu ya kimkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran, yaliyofanyika Tehran, wametangazwa...

Qatar yazindua programu ya ya Maendeleo ya Vijana Kupitia Qur’ani

IQNA – Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu nchini Qatar inaendesha darasa maalum la kiangazi la Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuimarisha uwezo wa kuhifadhi...

Jumuiya ya Kiislamu yapongeza uamuzi wa Kanada kutambua Taifa la Palestina

IQNA – Baraza Kuu la Waislamu wa Kanada (NCCM) limekaribisha kwa mikono miwili uamuzi wa serikali ya Ottawa wa kulitambua rasmi Taifa la Palestina mwezi...

Tarjuma ya Qur’an kwa Kiyoruba na Kiingereza Yazinduliwa Nigeria

IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Kiislamu kutoka Nigeria amezindua mradi wa kipekee wa tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lengo la kuwafikishia ujumbe wa Allah kwa...
Habari Maalumu
Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani nchini Ufaransa

Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani nchini Ufaransa

IQNA – Mwanaume mwenye umri wa miaka 27 nchini Ufaransa amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur'ani, Kitabu Kitakatifu...
01 Aug 2025, 14:25
Kiongozi wa Hizbullah: Tawala za Israel na Marekani zinatenda jinai Gaza

Kiongozi wa Hizbullah: Tawala za Israel na Marekani zinatenda jinai Gaza

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani wanatekeleza jinai za kila siku, zilizo na mpangilio...
31 Jul 2025, 12:54
Wanaharakati maarufu wa Qur’ani kutoka Iran wawaomba Maqari wa Misri wasaidie watu wa Gaza

Wanaharakati maarufu wa Qur’ani kutoka Iran wawaomba Maqari wa Misri wasaidie watu wa Gaza

IQNA – Kundi la walimu na maqarii mashuhuri wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeandika barua ya wazi kwa maqari wa Misri, likiwataka wachukue...
30 Jul 2025, 17:49
Iraq iko tayari kuwakaribisha wafanyaziyara wa kigeni wa Arbaeen

Iraq iko tayari kuwakaribisha wafanyaziyara wa kigeni wa Arbaeen

IQNA – Shirika la Mikingo ya Mpaka ya Iraq limetangaza kuwa liko tayari kikamilifu kuwapokea wafanyaziyara wa Arbaeen kutoka mataifa ya kigeni.
30 Jul 2025, 17:38
Wanawake wa Kiislamu wabeba mzigo wa chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia

Wanawake wa Kiislamu wabeba mzigo wa chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia

IQNA-Australia imeingia katika kipindi kigumu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), hali iliyoibuka kwa kasi tangu kuanza kwa vita vya kikatili vya...
30 Jul 2025, 11:37
Shule za Kuhifadhi Qur’ani kutoa mafunzo kwa wahifadhi Milioni 10 wa Qur’ani Iran

Shule za Kuhifadhi Qur’ani kutoa mafunzo kwa wahifadhi Milioni 10 wa Qur’ani Iran

IQNA – Afisa mmoja kutoka Wizara ya Elimu ya Iran amesema kuwa shule 1,200 za kuhifadhi Qur’ani zinapangwa kuzinduliwa nchini ili kusaidia mpango wa kuwafundisha...
30 Jul 2025, 11:16
Kiongozi wa Mapinduzi: Vita ya Siku 12 vilionesha uwezo wa Iran

Kiongozi wa Mapinduzi: Vita ya Siku 12 vilionesha uwezo wa Iran

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatعllah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya...
29 Jul 2025, 21:29
CAIR: Kuua watu katika nyumba ya ibada ni uovu wa hali ya juu

CAIR: Kuua watu katika nyumba ya ibada ni uovu wa hali ya juu

IQNA – Kundi moja la kutetea haki za binadamu nchini Marekani limelaani shambulio la kikatili lililotokea hivi karibuni dhidi ya kanisa Katoliki nchini...
30 Jul 2025, 10:54
Mufti wa Al-Quds azuiwa kuingia Msikiti wa Al-Aqsa baada ya hotuba kuhusu njaa Gaza

Mufti wa Al-Quds azuiwa kuingia Msikiti wa Al-Aqsa baada ya hotuba kuhusu njaa Gaza

IQNA-Sheikh Muhammad Ahmad Hussein, Mufti Mkuu wa Al-Quds, amepigwa marufuku na utawala dhalimu wa Israel kuingia Msikiti wa Al-Aqsa ulio mjini Quds (Jerusalem)...
28 Jul 2025, 17:58
Waombolezaji wa Bani Amer waingia Karbala kabla ya Arbaeen

Waombolezaji wa Bani Amer waingia Karbala kabla ya Arbaeen

IQNA-Kundi la maombolezo la Bani Amer, mojawapo ya makundi makubwa zaidi ya waombolezaji nchini Iraq, limeanza matembezi yake ya kiroho kutoka Basra kuelekea...
28 Jul 2025, 17:52
Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

IQNA-Kozi ya kiangazi ya wanawake ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah, imekamilika kwa mafanikio, ambapo washiriki...
28 Jul 2025, 17:47
Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

IQNA-Mji wa Al Hoceima, ulioko kaskazini mwa Morocco, umeandaa tamasha lake la kwanza la Qur’ani Tukufu, likiwatambua washiriki mashuhuri wa mashindano...
28 Jul 2025, 17:42
Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara  wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

IQNA – Taasisi za kidini na kiraia katika mji mtukufu wa Qom, Iran, zinajiandaa kuwapokea zaidi ya wafanyaziyara 500,000 wa Arbaeen kutoka zaidi ya nchi...
28 Jul 2025, 17:36
Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

IQNA-Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati...
27 Jul 2025, 16:16
Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

IQNA – Katika kuonyesha mshikamano wa Waislamu, masheikh wa Kisunni walijumuika Jumamosi jioni kwa swala ya jamaa pamoja na ndugu zao wa Kishia katika...
27 Jul 2025, 16:12
Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

IQNA- Mahdi Ghorbanali, qari wa swala ya Ijumaa mjini Tehran, amejiunga na kampeni ya Qur’ani ya IQNA iitwayo “Fath” kwa kusoma aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
27 Jul 2025, 15:59
Picha‎ - Filamu‎