IQNA

Nakala Kubwa Zaidi ya Qurani Duniani Iliyoandikwa Kwa Mkono

IQNA – Mafanikio ya kihistoria katika sanaa ya hati za Kiislamu yamezinduliwa mjini Istanbul: Ni nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani iliyoandikwa...

UAE: Mashindano ya Kimataifa ya Qurani kuanza Novemba 1

IQNA – Mashindano makubwa ya Qurani yatakayoshirikisha washiriki kutoka ndani na nje ya nchi huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yataanza rasmi tarehe...

Kiongozi Mkuu wa Al-Azhar Misri Aitaka Italia Itambue Palestina

IQNA – Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri amebainisha matumaini kuwa Italia itaungana na idadi inayoongezeka ya mataifa ambayo tayari...

Kampeni ya kusambaza nakala 50,000 Qur'ani nchini Mauritania

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani Tukufu ya Mauritania imetangaza uzinduzi wa kampeni ya kusambaza nakala 50,000 za Qurani nchini humo.
Habari Maalumu
Papa Leo Kutembelea 'Msikiti wa Sultan Ahmed'  Istanbul katika Ziara yake ya Kwanza Kimataifa

Papa Leo Kutembelea 'Msikiti wa Sultan Ahmed' Istanbul katika Ziara yake ya Kwanza Kimataifa

IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki anapanga kusafiri kuelekea nchini Uturuki, ambapo atatembelea Msikiti wa Sultan Ahmed maarufu kama Blue Mosque, ulioko...
29 Oct 2025, 16:35
Msomi: Iran ni kinara wa kustawisha Qur’ani Tukufu katika Ulimwengu wa Kiislamu

Msomi: Iran ni kinara wa kustawisha Qur’ani Tukufu katika Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Mkuu wa Taasisi ya Wakfu na Misaada ya Iran ameielezea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ndiyo kinara wa kukuza Qur’ani Tukufu katika ulimwengu wa...
28 Oct 2025, 09:40
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Iran: Washindi Watangazwa

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Iran: Washindi Watangazwa

IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imetangaza rasmi majina ya washindi wa tukio hilo mashuhuri la...
28 Oct 2025, 07:09
Haki ya Jamii Katika Utajiri wa Asili: Msingi wa Ushirikiano
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu/6

Haki ya Jamii Katika Utajiri wa Asili: Msingi wa Ushirikiano

IQNA – Mbali na ukweli kwamba mali kwa asili ni ya Mwenyezi Mungu ambaye ameikabidhi kwa mwanadamu, utajiri wa asili pia ni haki ya wanajamii wote, kwani...
28 Oct 2025, 07:36
Serikali ya Marekani yalaani kwa kumkamata mwandishi mtetezi wa Palestina

Serikali ya Marekani yalaani kwa kumkamata mwandishi mtetezi wa Palestina

IQNA-Mwandishi wa habari raia wa Uingereza anayejulikana kwa kuunga mkono Palestina amekamatwa nchini Marekani na shirika la Uhamiaji na Forodha (ICE),...
28 Oct 2025, 07:16
“Alisimulia Upya Tukio la Karbala”: Mwanazuoni Azungumzia Uongozi wa Bibi Zaynab (SA) Katika Upashaji Habari

“Alisimulia Upya Tukio la Karbala”: Mwanazuoni Azungumzia Uongozi wa Bibi Zaynab (SA) Katika Upashaji Habari

IQNA – Bibi Zaynab (SA) “ndiye aliyekuwa wa kwanza kukabiliana na upotoshaji kwa kutumia mbinu zinazofanana na zile za vyombo vya habari vya leo—kufichua,...
27 Oct 2025, 16:10
Iran yatilia mkazo utalii  'Halal' kwa lengo la kuimarisha mahusiano na ulimwengu wa Kiislamu

Iran yatilia mkazo utalii 'Halal' kwa lengo la kuimarisha mahusiano na ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Waziri wa Urithi wa Kitamaduni, Utalii na Sanaa za Mikono wa Iran, Seyyed Reza Salehi Amiri, amesema kuwa utalii 'Halal' ni jukwaa muhimu...
28 Oct 2025, 07:01
Maelfu ya wenyeji wahudhuria Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Sanandaj

Maelfu ya wenyeji wahudhuria Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Sanandaj

IQNA – Kwa wastani, zaidi ya watu 5,000 kutoka mkoa wa Kordestan nchini Iran huhudhuria mashindano ya kitaifa ya Qur'an kila siku, kwa mujibu wa afisa...
27 Oct 2025, 15:54
Mfungwa wa Kipalestina asimulia misingi ya kuhifadhi Qur'ani licha ya mateso ya Gaza

Mfungwa wa Kipalestina asimulia misingi ya kuhifadhi Qur'ani licha ya mateso ya Gaza

IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiwa hivi karibuni amefichua mambo manne muhimu yanayochangia kuenea kwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika Ukanda...
27 Oct 2025, 15:50
Washindi wa Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'an Mauritania wakabidhiwa zawadi

Washindi wa Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'an Mauritania wakabidhiwa zawadi

IQNA – Hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa toleo la 12 la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini Mauritania imefanyika...
27 Oct 2025, 15:42
Mkuu wa ICRO: Watawala wa Marekani wanaficha hofu yao

Mkuu wa ICRO: Watawala wa Marekani wanaficha hofu yao

IQNA – Watawala wa Marekani wanaficha na kuziba hofu yao dhidi ya vuguvugu la wananchi nchini humo, amesema Mkuu wa Taasisi ya Utamaduni na Mahusiano ya...
27 Oct 2025, 15:38
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Port Said Yafungua Usajili kwa Washiriki wa Kimataifa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Port Said Yafungua Usajili kwa Washiriki wa Kimataifa

IQNA – Kamati Kuu ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Port Said nchini Misri imetangaza kufunguliwa kwa usajili wa washiriki wa...
26 Oct 2025, 21:40
Hafla ya kufunga Mashindano ya Kitaifa ya Qur'an Iran

Hafla ya kufunga Mashindano ya Kitaifa ya Qur'an Iran

IQNA – Hafla ya kufunga awamu ya mwisho ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatarajiwa kufanyika, Oktoba 27,...
26 Oct 2025, 21:29
Mkaligrafia wa Kiirani atumia Sanaa ya Qur'an kuimarisha Mahusiano ya Kimataifa

Mkaligrafia wa Kiirani atumia Sanaa ya Qur'an kuimarisha Mahusiano ya Kimataifa

IQNA – Mkaligrafia wa Kiirani, Bi Tandis Taghavi, amesema kuwa anatumia sanaa ya kuandika Qur'an Tukufu kama njia ya kuwasilisha mafundisho ya dini...
26 Oct 2025, 21:18
Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa azungumzia udhalilishaji wa Qur'an katika Magereza ya Israel

Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa azungumzia udhalilishaji wa Qur'an katika Magereza ya Israel

IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa kutoka gereza la utawala wa Kizayuni ameeleza mateso makali na hali isiyo ya kibinadamu inayowakumba wafungwa...
26 Oct 2025, 21:11
Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

IQNA – Katika kipindi cha kuelekea kuanza kwa upigaji kura wa mapema, mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, ametetea imani yake ya Kiislamu...
26 Oct 2025, 09:31
Picha‎ - Filamu‎