IQNA

Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

IQNA – Kikundi cha kwanza cha Wairano wanaotekeleza Umrah baada ya Hajj ya mwaka huu kimewasili Madina, Saudi Arabia baada ya kuondoka mapema Jumamosi asubuhi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imam Khomeini jijini Tehran.
09:56 , 2025 Aug 23
Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu hiyo, mchezaji wa kimataifa kutoka Morocco, Mohamed Jaouab.
09:42 , 2025 Aug 23
Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

IQNA – Watu wa Yemen katika mkoa wa Saada wameshiriki katika maandamano ya mamilioni ya watu Ijumaa, wakionesha mshikamano wao na watu wanaodhulumiwa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.
08:18 , 2025 Aug 23
Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein (AS) pamoja na ndugu yake, Hadhrat Abbas (AS).
08:11 , 2025 Aug 23
Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran amesisitiza mafanikio ya kihistoria yaliyopatikana na Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kwa kuunda Umma mmoja ulioshikamana, kutoka jamii za kikabila zilizokuwa zikitumbukia katika migawanyiko na mifarakano.
16:17 , 2025 Aug 22
Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
15:58 , 2025 Aug 22
Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
15:51 , 2025 Aug 22
Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya aya za Qur’ani na ramani za nchi za Kiarabu.
15:42 , 2025 Aug 22
Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

IQNA-Maonyesho ya sanaa za Qur’ani na kidini yenye kichwa “Sanaa ya Mapenzi, Imani na Ashura” yalifanyika katika Chuo Kikuu cha Kashmir yakiratibiwa na Taasisi ya Utafiti wa Qur’ani ya Tebyan. Zaidi ya kazi mia moja za uchoraji, kaligrafia, picha na sanaa za kidigitali ziliwasilisha mada za Qur’an, Karbala na kujitolea.
15:37 , 2025 Aug 22
Wafanyaziyara wakitembea kuelekea Mashhad kabla ya kumbukumbu ya Imam Ridha (AS)

Wafanyaziyara wakitembea kuelekea Mashhad kabla ya kumbukumbu ya Imam Ridha (AS)

IQNA – Kila mwaka, inapokaribia kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Imam Ridha (AS), wafanyaziyara na waombolezaji kutoka mikoa na wilaya jirani huanza safari kwa miguu kuelekea mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
17:03 , 2025 Aug 21
Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

IQNA – Saudi Arabia imetangaza washindi katika makundi matano ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yaliyofanyika mjini Makkah.
16:57 , 2025 Aug 21
Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Sayyid Muhammad Husaynipour, aliyeshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alishiriki katika msafara wa Qur’āni wa Arbaeen mjini Hillah, Iraq. Hii hapa klipu yake akisoma Qur'ani Tukufu
16:43 , 2025 Aug 21
Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf imefunikwa kwa vitambaa vyeusi ikiwa ni sehemu ya maandalizi makubwa ya kumbukumbu ya Wafat au kufariki kwa Mtume Muhammad (SAW) itakayoadhimishwa Ijumaa, tarehe 28 Safar.
17:13 , 2025 Aug 20
Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

IQNA – Magaidi walifyatua risasi ndani ya msikiti katika eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria wakati wa Swala ya Alfajiri siku ya Jumanne, na kuua angalau watu 27, maafisa wa eneo hilo na wakazi wamesema.
17:06 , 2025 Aug 20
Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

IQNA – Wosia wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kuhusu Ahlul-Bayt (AS), Qur’an Tukufu, na ulazima wa kulinda umoja wa Waislamu unaonyesha dira yake ya kujenga jamii yenye mshikamano na haki, amesema msomi mmoja.
17:01 , 2025 Aug 20
1