iqna

IQNA

kongamano
Wageni walioshiriki katika Kongamano la 37 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu walitoa heshima zao kwa Imam Khomeini (R.A.) kwa kuhudhuria haram ya mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3477685    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/02

Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kwanza wa Kimataifa wa Fikra za Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani limemalizika hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3476363    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Russia na Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Kongamano la wanazuoni kuhusu masomo ya Kiislamu limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Russia (Urusi) , Moscow mapema mwaka ujao.
Habari ID: 3475937    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 36 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 17 hadi 22 Oktoba kwa kuhudhuriwa na wasomi na wanafikra kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3475898    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08

Shirika la Habari za Qur'ani Tukufu la Kimataifa (IQNA) litafanya kongamano la kimataifa kupitia intaneti kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474898    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06

TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amezungumza na waandishi habari kuhusu Kongamano la 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3474432    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/17

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Tehran na kushirikisha wasomi 50 maarufu duniani.
Habari ID: 3474429    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Waandaaji wa Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu wamealika wasomi, wanafikra na wataalam kutuma makala zao katika kongamano hilo.
Habari ID: 3474273    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/08

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la Pili la Kimataifa la Quds Tukufu limeanza kwa njia ya intaneti ambapo kuna washiriki kutoka nchi mbali mbali.
Habari ID: 3473878    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/05

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la kitaalamu la "Vyombo vya Habari na Njia ya Fikra ya Suleimani" lililofanyika leo katika Ukumbi wa Ma kongamano ya Kimataifa wa IRIB hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3473520    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/03

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa 34 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza kufanyika mjini Tehran ukihudhuriwa na shakhsia 167 wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3473310    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30

TEHRAN (IQNA)-Mji wa Oxford nchini Uingereza utakuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la Qur'ani Tukufu baadaye mwaka huu.
Habari ID: 3470912    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/29

IQNA: Kongamano la Pili la Kimataifa la "Elimu ya Kiislamu na Utafiti wa Qur'ani na Hadithi za Mtume SAW" limepangwa kufanyika mjini Mataram, Indonesia Machi 2017.
Habari ID: 3470762    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26

Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Iran Ayatullah Hashemi Rafsanjani amesema kuwa Qur'ani tukufu ilikuwa chanzo cha shakhsia na mafanikio makubwa ya hayati mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini MA.
Habari ID: 3428213    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/01

Idara ya Qur’ani katika Wizara ya Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu Iran imeandaa kongamano chini ya anuani ya ‘‘Qur’ani Katika Sirah na Fikra za Imam Khomeini’.
Habari ID: 3410354    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/29

Kongamano la Sita la Kimataifa la Utafiti wa Qur’ani litafanyika London, Uingereza mwezi Juni mwakani.
Habari ID: 3409346    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/29

Kongamano la kimataifa la "Uislamu, Rehema kwa Dunia" litafanyika Jakarta, Indonesia kuanzia Oktoba 13-16.
Habari ID: 3360473    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08

Kongamano la Kimataifa lenye anuani ya "Uislamu na Amani" limefanyika wiki hii katika mji mkuu wa Senegal, Dhakar.
Habari ID: 3336950    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/30

Mji mkuu wa Syria , Damascus ni ulikuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la 'Vyombo vya Habari na Vita Dhidi ya Ugaidi.'
Habari ID: 3332772    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/25

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Cairo Misri amelaani vikali jinai zinazofanywa na makundi ya kitakfiri duniani hasa kundi la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2615011    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04