iqna

IQNA

Tajuddin
TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Kiislamu Ethiopia limetaka wale wote waliohusika katika kuuhujumu na kuuharibu Msikiti wa al-Najashi katika eneo la Tigray waadhibiwe.
Habari ID: 3473537    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08