iqna

IQNA

ulimwengu wa kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mamilioni ya watu kote duniani walijitokeza mitaani Oktoba 20 kushutumu kuendelea kwa mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Gaza ambayo yamesababisha zaidi ya Wapalestina 4,100 kuuawa ndani ya wiki mbili.
Habari ID: 3477771    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/22

TEHRAN (IQNA) - Rais wa Iran Ebrahim Raeisi, katika mazungumzo ya simu na Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman, alisisitiza haja ya ushirikiano wa nchi za Kiislamu ili kukomesha jinai za Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3477722    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/12

TEHRAN (IQNA) – Rehema ya Mwenyezi Mungu husaidia kuleta msamaha kwa mwanadamu katika dunia hii au ijayo ili asiungue katika moto wa jahannam.
Habari ID: 3477713    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/11

Ulimwengu wa Kiislamu na Uchumi
TEHRAN (IQNA) – Nchi za Kiislamu, ambazo zinategemea mfumo wa kiuchumi wa nchi za Magharibi zimetakiwa kupanua biashara kati yao wenyewe.
Habari ID: 3476006    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/29

TEHRAN (IQNA)- Jildi ya 27 ya Kamusi Elezo (ensaiklopedia) ya Ulimwengu wa Kiislamu imechapishwa katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472496    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/22