iqna

IQNA

aqsa
TEHRAN (IQNA) - Mbunge wa Palestina anasema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuiba ardhi ya Wapalestina huko Quds (Jerusalem) haibadilishi ukweli wa mambo.
Habari ID: 3475005    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wasiopungua 25,000 wamestahamili baridi kali na kushiriki katika Sala ya Ijumaa wiki hii katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474860    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/28

TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Mji wa Quds (Jerusalem) na Palestina amelaani vikali matamshi ya mbunge mmoja nchini Marekani ambaye ametaka Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds uvunjwe.
Habari ID: 3474671    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/14

TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa Palestina wametaka Shirika la Umoja wa Mtaifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) lianzishe uchunguzi kuhusu uchimbuaji unaofanywa kinyume cha sheria na Israel katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474644    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), amesema muqawama au mapambano ndio njia bora zaidi ya kukomboa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474447    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nyumba ya Sheikh Ikrima Sabri na kusisitiza kuhusu mshikamano wa Wapalestina katika kutetea Mji wa Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3474409    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/11

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua ya mahakama moja ya utawala bandia wa Israel kuwaruhusu walowezi wa Kizayuni kuingia katika uwanja wa Msikiti wa Al Aqsa kwa ajili ya kufanya ibada zao.
Habari ID: 3474394    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/07

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani hujuma za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474353    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) amesisitiza kuwa, hatua ya Wazayuni ya kung'ang'a kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa al-Aqsa inaweka wazi njama zao za kutaka kutwisha uhakika mpya kuhusiana na kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3474335    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24

TEHRAN (IQNA) - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel, na kuuvunjia heshima msikiti huo ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3474305    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17

TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel ijumaa walivamia Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wakati Wapalestina walipokuwa wakiandamana kubainisha kufungamana na wenzao wanaoteswa katika jela za Israel.
Habari ID: 3474281    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ,kwa kifupi Hamas, katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.
Habari ID: 3474263    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina zaidi ya 45,000 wamehudhuria Sala ya Ijumaa ya jana kwenye msikiti mtukufu wa Al Aqsa katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) pamoja na kuwepo vizingiti vingi vilivyowekwa na utawala haramu wa Israel unaokalia mji huo kwa mabavu.
Habari ID: 3474255    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/04

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kukumbuka tukio chungu la kuteketezwa moto msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
Habari ID: 3474210    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20

TEHRAN (IQNA) - Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na walowezi wa Kizayuni walikiuka haki za Wapalestina katika zaidi ya mara 3,800 mwezi Julai katika katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mjini al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474162    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa umma wa Palestina kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya Itikafu ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kulinda eneo hilo takatifu ambalo linakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaopata himya ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3474110    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)-Sala ya Idul Adha itaswaliwa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wiki ijayo.
Habari ID: 3474100    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/14

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna chembe ya shaka kuwa Waislamu karibuni hivi wataibuka washindi mkabala wa Wazayuni na waitifaki wao, na hatimaye watatekeleza ibada ya Swala katika Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473993    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/09

TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanalindwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel Jumatano waliuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa katiak mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473974    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/03

TEHRAN (IQNA)- Sala ya Ijumaa imeswaliwa jana katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) ambapo inakadiriwa kuwa Wapalestina 40,000 walishiriki katika sala hiyo.
Habari ID: 3473959    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29