TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kura ya maoni ambayo imeidhinisha marufuku ya vazi la nikabu linalotumiwa na wanawake Waislamu.
Habari ID: 3473717 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08
TEHRAN (IQNA)- Uswisi imeitisha kura ya maoni kuhusu marufuku ya vazi la nikabu (niqabu) au burqa linalotumiwa na wanawake Waislamu kufunika uso kikamilifu.
Habari ID: 3473571 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19