TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu Iraq amesema waranti uliotolewa hivi karibuni na mahakama moja ya Iraq wa kukamatwa rais Donald Trump wa Marekani anayeondoka ni ushindi kwa azma ya wananchi wa kuwaadhibu waliowaua makamanda wa muqawama.
Habari ID: 3473540 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09