iqna

IQNA

makombora
Ustawi wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua mfumo mpya wa makombora ya kujihami ya masafa marefu ya Bavar (Kujiamini) 373 na pia imefanyia majaribio kombora jipya la Sayyyad B4 leo Jumapili.
Habari ID: 3476044    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limelenga kwa makombora kituo cha kistratijia cha njama na uovu cha Wazayuni na kusisitizia kuwa: Kurudiwa kwa uovu wa aina yoyote kutakabiliwa na jibu kali, la pande zotei na haribifu.
Habari ID: 3475035    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Haiwezekani kuwa na imani kamili na madola ya kigeni na kuwa na matumaini nayo kwa ajili ya kutatua matatizo.
Habari ID: 3473390    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/24

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wa makombora yake ya kujihami.
Habari ID: 3473275    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/19