Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
Ee Mwenyezi Mungu: Siku hii, (tafadhali) amua juhudi zangu zitukuzwe.
Na kusamehewa dhambi zangu, Na vitendo vyangu vikubaliwe, Na madhaifu yangu yafichwe;
Ewe Mwenye kusikia kuliko wote wanaoweza kusikia.