Kadhia ya Palestina
IQNA-Viongozi wa Ireland na Uhispania wametangaza kuwa nchi kadhaa za bara la Ulaya zinakaribia kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
Habari ID: 3478676 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13
Diplomasia ya Utamaduni
MADRID (IQNA – Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uhispania amesisitiza haja ya maendeleo ya mazungumzo baina ya dini mbali mbali katika nchi hizi mbili.
Habari ID: 3478011 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika kijiji cha Granada, mkoa wa kusini mwa Uhispania, wanajifunza kuhifadhi Qur'ani Tukufu kwa kwa njia ya jadi. Kulingana na tovuti ya Tawasul, Kijiji cha Al-Kawthar katika mkoa wa Andalusia nchini Uhispania kina wakaazi 490.
Habari ID: 3477055 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27
Wanaharakati wafichua
TEHRAN (IQNA)-Wanaharakati wameshutumu Kanisa Kikatoliki huko Cordoba, Uhispania, kwa kuharibu na kupotosha historia ya Kiislamu katika eneo hilo.
Habari ID: 3476644 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02
Waislamu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Halmashauri ya Jiji la Madrid imekubali kutenga ardhi katika mji mkuu wa Uhispania kwa ajili ya ya mazishi ya Waislamu.
Habari ID: 3475559 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimekosoa uamuzi wa shule moja Uhispania kupiga marufuku vazi la Hijabu na kutaja kitendo hicho kuwa ni ubaguzi.
Habari ID: 3474523 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/06
TEHRAN (IQNA) – Wanaakiolojia wamegundua makaburi ya kale ya Waislamu kaskazini mashariki mwa Uhispania.
Habari ID: 3473408 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/30
TEHRAN (IQNA) – Mcheza soka mstaafu wa kulipwa barani Ulaya, Frederic Oumar Kanoute, mwenye asili ya Afrika anaongoza mkakati wa kujenga msikiti huko Sevilla nchini Uhispania.
Habari ID: 3472096 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/23
TEHRAN (IQNA)- Mgogoro kuhusu umiliki wa Msikiti Mkuu wa Crodoba nchini Uhispania unaendelea kutokota baada ya kamati iliyoteuliwa na Baraza la Mji wa Cordoba kupinga hatua ya Kanisa Katoloki kuchukua udhibiti wa msikiti huo.
Habari ID: 3471677 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/17
TEHRAN (IQNA)-Eneo la Catalonia nchini Uhispania limepata mwanamek wa kwanza Muslamu mbunge katika uchaguzi uliofanyika Alhamisi iliyopita na hivyo kufanya idadi ya wabunge Waislamu eneo hilo kuwa watatu.
Habari ID: 3471328 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/28
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Uhispania wana wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu kufuatia hujuma ya kigaidi mjini Barcelona ambayo magaidi wa ISIS walidai kuhusika nayo.
Habari ID: 3471132 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/20
IQNA (TEHRAN)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la ISIS ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.’
Habari ID: 3471129 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/19
Mwanamke Mwislamu mkaazi wa Uhispania
IQNA: Bi. Bushra Ibrahimi ni Mwislamu mkaazi wa Uhispania ambaye anasema Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya wanakumbwa na masaibu mengi.
Habari ID: 3470836 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/06
Bunge la Uhispania na Rais wa Slevonia wameunga mkono suala la kutambuliwa rasmi dola la Palestina. Hatua hii inakuja katika wimbi la uungaji mkono wa dola la Palestina.
Habari ID: 1475315 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/19
Mabunge ya Uhispania na Ufaransa yamepanga kupigia kura azimio la kulitambua taifa la Palestina, hatua ambayo imekuwa ikichukuliwa ma nchi kadhaa za Ulaya.
Habari ID: 1473023 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/14