Mwanamke Marekani Muislamu mwenye asili ya Afrika ameapishwa kwa kutumia Qurani kuwa jaji, katika jimbo la Brooklyn.
2015 Dec 14 , 15:30
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka serikali ya Nigeria kuwaheshimu viongozi wa kidini na maeneo matakatifu, siku moja baada ya jeshi la nchi hiyo kumkamata kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya kutekeleza hujuma nyumbani kwake kaskazini mwa nchi hiyo.
2015 Dec 14 , 14:48
Vikosi vya jeshi la Nigeria Jumapili alfajiri vililvamia nyumba ya Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Washia wa nchi hiyo katika mkoa wa Zaria jimboni Kaduna, na hatimaye kumtia mbaroni kiongozi huyo wa kidini.
2015 Dec 14 , 14:40
Jeshi la Nigeria limemkamata kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya kutekeleza hujuma nyumbani kwake kaskazini wa nchi hiyo.
2015 Dec 13 , 19:57
Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amewasilisha kwenye Baraza Kuu la umoja huo rasimu ya azimio lililopendekezwa na Jamhuri ya Kiislamu la 'dunia isiyo na ukatili na vitendo vya kufurutu mpaka'.
2015 Dec 12 , 22:47
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Uislamu ni dini ya upendo na amani na siku zote inapinga na kukataza utumiaji mabavu na uchupaji mipaka.
2015 Dec 12 , 22:41
Rais Yahya Jammeh wa Gambia ameitangaza nchi yake kuwa Jamhuri ya Kiislamu itangaza hatua hiyo na kusema kuwa, kuanzia sasa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu unatawala nchini humo ikiwa ni katika juhudi za kutoa utambulisho kwa thamani za kidini.
2015 Dec 12 , 21:49
Mwanabondia mashuhuri duniani Mohammad Ali ametoa wito kwa Waislamu hasa nchini Marekani kusimama kidete na kuwalaani wale wanaoeneza chuki dhidi ya Uislamu.
2015 Dec 11 , 11:29
Wapalestina hii wanashiriki katika maandamano makubwa yaliyopowa anuani 'Ijumaa ya Ghadhabu' ilikulaani jina za utawala haramu wa Israel na kuunga mkono mapambano na intifadha au mwamko dhidi ya utawala huo.
2015 Dec 11 , 09:59
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeikosoa vikali Saudi Arabia kwa kuwalenga kwa makusudi watoto kupitia udondoshaji mabomu kiholela katika vita vyake dhidi ya Yemen.
2015 Dec 11 , 09:56
Idadi ya raia wa kigeni waliojiunga na makundi ya magaidi wakufurishaji nchini Syria wameongezeka maradufu, amesema mkuu wa zamani wa shirika la kijasusi la Uingereza.
2015 Dec 09 , 12:58
Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani CAIR limemlaani Donald Trump anayewania kuteuliwa kugombea urais wa tikiti ya chama cha Republican, kufuatia matamshi yake kuwa Waislamu watimuliwe Marekani.
2015 Dec 08 , 12:52
Waziri wa Masuala ya Kidini Tunisia
Waziri wa Masuala ya Dini Tunisia Sheikh Uthman Batikh amesisitiza kuhusu ulazima wa kukabiliana na misimamia mikali pamoja na harakati za wakufurishaji na kuongeza kuwa, 'leo wale wenye misimamo mikali wameharibu sura ya Uislamu'.
2015 Dec 07 , 18:27